All authority on that Day is for Allah ˹alone˺.1 He will judge between them. So those who believe and do good will be in the Gardens of Bliss.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Ufalume na mamlaka katika Siku hii ni ya Mwenyezi Mungu Peke Yake, na Yeye, kutakata na sifa za upungufu ni Kwake, Ataamua baina ya Waumini na makafiri. Wale waliomuamini Mwenyezi Mungu na Mtume Wake na wakafanya matendo mema, ni zao wao starehe za daima kwenye mabustani ya Pepo.