No dia me que virem os anjos, nada haverá de alvissareiro para os pecadores, e (aqueles) lhe dirão: É uma barreiraintransponível.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Siku watakapowaona Malaika wakati wa kufa kwao, na wakiwa ndani ya makaburi yao na Siku ya Kiyama, kwa sura ambazo sizo zile walizozitaka, sio kuwapa bishara ya Pepo, lakini kuwaambia, «Mwenyezi Mungu Ameifanya Pepo ni mahali palipoharamishwa kwenu.»