Entrar
Entrar
Entrar
Selecione o idioma

Tafsir: Al-Furqan 25:29

25:29
لقد اضلني عن الذكر بعد اذ جاءني وكان الشيطان للانسان خذولا ٢٩
لَّقَدْ أَضَلَّنِى عَنِ ٱلذِّكْرِ بَعْدَ إِذْ جَآءَنِى ۗ وَكَانَ ٱلشَّيْطَـٰنُ لِلْإِنسَـٰنِ خَذُولًۭا ٢٩
لَّقَدۡ
أَضَلَّنِي
عَنِ
ٱلذِّكۡرِ
بَعۡدَ
إِذۡ
جَآءَنِيۗ
وَكَانَ
ٱلشَّيۡطَٰنُ
لِلۡإِنسَٰنِ
خَذُولٗا
٢٩
Porque me desviou da Mensagem, depois de ela me ter chegado. Ah! Satanás mostra-se aviltante para com os homens!
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Amenipoteza rafiki huyu na kuniepusha na Qur’ani baada ya kunijia» Na Shetani aliyefukuzwa kwenye rehema ya Mwenyezi Mungu amekuwa daima ni mwenye kumtupa mwanadamu. Katika aya hizi kuna onyo kwamba rafiki mbaya asifuatwe, kwani yeye huenda akawa ni sababu ya kumtia, yule anayefuatana na yeye, Motoni.