E quisemos agraciar os subjugados na terra, designando-os imames e constituindo-os herdeiros.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Na tunataka kuwafadhili wale ambao Fir'awn aliwafanya wanyonge nchini, tuwafanye ni viongozi katika wema na ni wenye kuulingania, na tuwafanye wao wairithi nchi baada ya kuangamia Fir'awn na watu wake.