Aqueles que, quando os aflige uma desgraça, dizem: Somos de Deus e a Ele retornaremos -
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Miongoni mwa sifa za hawa wenye kusubiri ni kwamba wao wanapofikwa na kitu wanachokichukia husema, «Sisi ni waja waliomilikiwa na Mwenyezi Mungu, tunaoendeshwa kwa amri Yake na mapitisho Yake. Anafanya kwetu Alitakalo. Na sisi Kwake, Peke Yake, ni wenye kurudi kwa kufa, kisha kwa kufufuliwa ili kuhesabiwa na kulipwa.