Aqueles que ocultam as evidências e a Orientação que revelamos, depois de as havermos elucidado aos humanos, noLivro, serão malditos por Deus e pelos imprecadores,
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Hakika wale ambao wanazificha aya zilizo waziwazi, zijulishazo utume wa Muhammad, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, na yale aliyokuja nayo, nao ni wanavyuoni wa Kiyahudi na wajuzi wa Kinaswara na wengineo, miongoni mwa wafichao yalyoteremshwa na Mwenyezi Mungu, baada ya sisi kuyadhihirisha kwa watu katika Taurati na Injili, hao Mwenyezi Mungu Atawafukuza kutoka kwenye rehema Yake, na viumbe wote watawaapiza laana.