Então, os chefes negarão os seus prosélitos, virão o tormento e romper-se-ão os vínculos que os uniam.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Watakapoiyona adhabu ya Akhera, watajitenga wale viongozi waliofuatwa kujiepusha na wale waliowafuata katika ushirikina na zitawakatikia wao aina zote za mawasiliano waliyojifungamanisha nayo duniani: ya ujamaa, ufuasi, dini na mengineyo yasiyokuwa hayo.