Não consumais as vossas propriedades em vaidades, nem as useis para subornar os juizes, a fim de vos apropriardesilegalmente, com conhecimento, de algo dos bens alheios.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Na wasile baadhi yenu mali ya wengine kwa njia ya batili, kama kuapa yamini la urongo, kunyang’anya, kuiba, kuhonga, kula riba na mfano wa hayo.Wala msipeleke kwa mahakimu hoja potofu ili mpate kula kwa njia ya utesi mali ya kikundi cha watu wengine kwa njia ya batili, hali ya kuwa nyinyi mnajua uharamu wa hilo juu yenu.