Serão malditos: onde quer que se encontrarem, deverão ser aprisionados e cruelmente mortos.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Hali ya kuwa wamefukuzwa kwenye rehema ya Mwenyezi Mungu; mahali popote watakapopatikana watekwe na wawe ni wenye kuuawa muda wa kuendelea kwao katika unafiki na kueneza habari za urongo baina ya Waislamu kwa lengo la kuleta fitina na uharibifu.