É inadmissível que o profeta fraude; mas, o que assim fizer, comparecerá com o que tiver fraudado, no Dia daRessurreição, quando cada alma será recompensada segundo o que tiver feito, e não será injustiçada.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Haiwi kwa Mtume kuwafanyia hiana maswahaba wake kwa kutwaa kitu katika ngawira ambayo Mwenyezi Mungu Hakumtengea. Na yoyote mwenye kulifanya hilo, miongoni mwenu, atakuja Siku ya Kiyama akiwa amekibeba kile alichokitwaa, ili afedheheshwe nacho mbele ya kila mtu katika kisimamo kinachojumuisha watu wote. Kisha itapewa kila nafsi malipo kamili ya ilichokichuma pasi na kupunguzwa wala kufanyiwa dhuluma.