Quanto àqueles que argumentam acerca de Deus, depois de Ele Ter sido aceito, seus argumentos serão refutados ante oseu Senhor, Cuja abominação pesará sobre eles, e sofrerão um severo castigo.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Na wale wanaojadili kuhusu Dini ya Mwenyezi Mungu niliyomtumiliza kwayo Muhammad, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, baada ya watu kuikubali na kusilimu, hoja yao na mjadala wao, mbele ya Mola wao, ni zenye kutenguka na kuondoka. Na watashukiwa na adhabu kutoka kwa Mwenyezi Mungu hapa duniani, na huko Akhera watakuwa na adhabu kali, nayo ni Moto.