Entrar
Entrar
Entrar
Selecione o idioma

Tafsir: Az-Zukhruf 43:25

43:25
فانتقمنا منهم فانظر كيف كان عاقبة المكذبين ٢٥
فَٱنتَقَمْنَا مِنْهُمْ ۖ فَٱنظُرْ كَيْفَ كَانَ عَـٰقِبَةُ ٱلْمُكَذِّبِينَ ٢٥
فَٱنتَقَمۡنَا
مِنۡهُمۡۖ
فَٱنظُرۡ
كَيۡفَ
كَانَ
عَٰقِبَةُ
ٱلۡمُكَذِّبِينَ
٢٥
Porém, punimo-los. Repara, pois, qual foi a sorte dos desmentidores!
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Basi tukawalipiza hao ummah waliowakanusha Mitume wao kwa kuwateremshia mateso ya kuwadidimiza, kuwazamisha na mengineyo. Basi angalia, ulikuwa vipi mwisho wa mambo yao walipozikanusha hoja za Mwenyezi Mungu na Mtume wake? Basi na wajihadhari watu wako wasiendelee kwenye ukanushaji wao ili yasiwapate wao yale yaliyowapata wale.