Nesse dia, os incrédulos, que desobedeceram ao Mensageiro, ansiarão para que sejam nivelados com a terra, massaibam que nada podem ocultar de Deus.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Siku litakapokuwa hilo, watatamani, wale waliomkanusha Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka, na wakampinga Mtume wasimtii, lau Mwenyezi Mungu Angaliwafanya sawasawa, wao na ardhi, wakawa mchanga ili wasifufuliwe. Na wao hawawezi kumficha Mwenyezi Mungu chochote kilichoko ndani ya nafsi zao, kwa kuwa Mwenyezi Mungu Atakuwa Amefunga midomo yao na kutolewa ushahidi juu yao na viungo vyao wenyewe kwa yale waliokuwa wakiyafanya.