Não devem todos os fiéis, de uma só vez, sair para o combate; deve permanecer uma parte de cada coletividade, parainstruir-se na fé, e assim admoestar s sua gente quando regressar, a fim de que se acautelem.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Na haikuwa inafaa kwa Waumini watoke wote kupigana na adui yao, pia hailingani na wao wakae wote. Basi si watoke kupigana jihadi, katika kila kundi, watu ambao itapatikana kwao kutosheleza kufikia malengo. Hivyo ili wapate kujifunza, wale waliokaa wasiende vitani, na kujua hukumu mpya za dini ya Mwenyezi Mungu na zile zilizoteremshiwa Mtume Wake, na wapate kuwaonya jamaa zao kwa yale waliojifunza watakaporejea kwao, huenda wao wakajihadhari na adhabu ya Mwenyezi Mungu, kwa kutekeleza maamrisho Yake na kuepuka makatazo Yake.