Do they not know that Allah ˹fully˺ knows their ˹evil˺ thoughts and secret talks, and that Allah is the Knower of all unseen?
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Kwani hawakujua wanafiki hawa kwamba Mwenyezi Mungu Anayajua wanayoyaficha ndani ya nafsi zao na yale wanayoyazungumza kwenye mabaraza yao ya vitimbi na njama na kwamba Mwenyezi Mungu ni Mjuzi sana wa yaliyofichika yote? Basi Atawalipa kwa matendo yao ambayo Amewahifadhia na kuwadhibitia.