Entrar
Entrar
Entrar
Selecione o idioma

Tafsir: Ad-Dukhan 44:28

44:28
كذالك واورثناها قوما اخرين ٢٨
كَذَٰلِكَ ۖ وَأَوْرَثْنَـٰهَا قَوْمًا ءَاخَرِينَ ٢٨
كَذَٰلِكَۖ
وَأَوۡرَثۡنَٰهَا
قَوۡمًا
ءَاخَرِينَ
٢٨
E foi assim que demos aquilo tudo em herança a outro povo!
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Mfano wa mateso hayo ndivyo Mwenyezi Mungu Anavyowatesa wenye kukanusha na kubadilisha neema za Mwenyezi Mungu kwa kuzikanusha. Na tuliwarithisha neema hizo, baada ya Fir’awn na watu wake, watu wengine waliokuja baada yao wakashika nafasi yao miongoni mwa Wana wa Isrāīl.