Então os fiéis foram testados e sacudidos violentamente.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Katika msimamo huo mgumu, Imani za Waumini zilijaribiwa na watu wakakaguliwa, na akajulikana mnafiki kwa kutengwa na Muumini, na wakasukikasukika msukosuko mkali kwa kuingiwa na kicho na babaiko, ili Imani yao ibainike na yakini yao izidi