Havíamos concedido a Moisés o Livro como uma bênção para quem o observasse, contendo a explanação de tudo, esendo orientação e misericórdia, a fim de que (os israelitas) cressem no comparecimento ante seu Senhor.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Kisha sema, ewe Mtume, uwaambie hawa washirikina, «Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka, Ndiye Aliyempa Mūsā Taurati, kwa kuzitimiza neema Zake kwa watu wa mila yake wanaofanya wema, na kwa kufafanua kila kitu katika mambo ya dini yao, na kuwapa uongofu na muelekeo wa njia iliyolingana sawa, na kuwarehemu, kwa matumaini kuwa watakubali kwamba kuna kufufuliwa baada ya kufa na kuna hesabu na malipo, na hilo liwafanya watende mema.