Se houvessem aqueles sido deuses, não o teria adentrado; ali todos permanecerão eternamente,
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Lau hawa ambao mliwaabudu badala ya Mwenyezi Mungu Aliyetukuka walikuwa ni waungu wanaostahiki kuabudiwa, hawangaliingia moto wa Jahanamu pamoja na nyinyi, enyi washirikina. Kwa hakika, wote hao, waabudu na waabudiwa, ni wenye kukaa milele ndani ya moto wa Jahanamu.