Se não fosse por um decreto prévio de Deus, Ter-vos-ia açoitado um severo castigo, pelo que havíeis arrebatado (deresgate).
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Lau si Kitabu kutoka kwa Mwenyezi Mungu chenye mapitisho na Makadirio yaliyotangulia ya kuhalalisha ngawira na kukomboa mateka kwa umma huu, basi ingaliwapata adhabu kubwa kwa kuchukuwa kwenu ngawira na fidia kabla ya kuletwa sheria kuhusu mambo mawili hayo.