E enviamos aos madianitas seu irmão, Xuaib (Jetro), que lhes disse: Ó povo meu, adorai a Deus, temei o Dia do JuízoFinal, e não injurieis na terra, corrompendo-a!
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Na tulimtumiliza, kwa watu wa Madyan, ndugu yao, Shu'ayb. Akawaambia, «Enyi watu wangu! Muabuduni Mwenyezi Mungu Peke Yake, na mumtakasie Ibada, kwani nyinyi hamuna Mola isipokuwa Yeye. Na kuweni na matarajio mema, kwa ibada mnazofanya, kupata malipo mazuri ya Siku ya Akhera, na msifanye uharibifu na maasia kwa wingi, na msijikite juu ya hayo. Lakini tubieni kwa Mwenyezi Mungu kwa makosa hayo na mrudi Kwake.