Então, punimo-los, e os afogamos no mar por haverem desmentido e negligenciado os Nossos versículos.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Basi tukawalipiza ulipokuja muda uliowekwa kwa wao kuangamizwa, kwa kuwashushia mateso yetu, nayo ni kuwazamisha baharini, kwa sababu ya kuikanusha kwao miujiza iliyodhihiri kwa Mūsā na wakawa wanaipuuza; na kupuuza huko ndio sababu ya kukanusha.