Porém, os iníquos dentre eles permutaram a Palavra por outra que não lhes havia sido dita. Por isso, desencadeamossobre eles um castigo do céu, por sua iniqüidade.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Waliomkanusha Mwenyezi Mungu kati yao waliligeuza neno ambalo Mwenyezi Mungu Aliwaamrisha waliseme, wakaingia mlangoni wakijikokota kwa matako yao na wakasema, «habbah fī sha'rah» (mbegu kwenye unywele), hapo tukawateremshia adhabu kutoka mbinguni, tukawaangamiza kwayo, kwa sababu ya udhalimu wao na uasi wao.