Que afastam os demais da senda de Deus, anunciam-na tortuosa e negam a vida futura!
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Makifiri hawa ndio wale waliokuwa wakiipuuza njia ya Mwenyezi Mungu iliyolingana sawa, na wakiwazuia watu wasiifuate, na wakitaka kwamba njia ya kuifuata iwe kombo ili kusiwe na yoyote wa kuielewa; na wao, kuhusu Akhera na mambo yake, ni wenye kukanusha.