E esquartejaram a camela, desacatando a ordem do seu Senhor, e disseram: Ó Sáleh, faze, pois, com que se cumpram astuas predições, se és um dos mensageiros.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Wakamchinja ngamia kwa kutojali onyo la Ṣāliḥ, na wakaingiwa na kiburi kilichowafanya wasifuate amri ya Mola wao na wakasema, kwa njia ya shere na kwa kuona kuwa adhabu iko mbali na wao, «Ewe Ṣāliḥ, tuletee hiyo adhabu ambayo unatuonya nayo, iwapo wewe ni miongoni mwa Mitume wa Mwenyezi Mungu!»