Entre os homens há aquele que, falando da vida terrena, te encanta, invocando Deus por Testemunha de tudo quantoencerra o seu coração embora seja o mais encarniçado dos inimigos (d'Ele).
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Na baadhi ya watu miongoni mwa wanafiki yanakuvutia, ewe Mtume, maneno yake yaliyo fasaha ambayo kwayo anataka fungu la hadhi za duniani, si za Akhera, na anaapa huku akimshuhudisha Mwenyezi Mungu yaliyo moyoni mwake ya kuupenda Uislamu, hali ya kuwa yeye ana uadui na utesi mkubwa juu ya Uislamu na Waislamu. Huo ni upeo wa ujasiri juu ya Mwenyezi Mungu.