Se estiverdes em perigo, orai andando ou cavalgando; porém, quando estiverdes seguros, invocai Deus, tal como Elevos ensinou o que não sabíeis.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Na iwapo mtawaogopa maadui maadui wenu, swalini swala ya khofu, mkiwa mwatembea au mumepanda, kwa namna yoyote ile mnayoiweza, hata kama ishara, au hata kama hamkulekea kibla. Na pindi khofu yenu itakapokwisha, swalini swala ya amani na mumtaje Mwenyezi Mungu humo. Wala msiipunguze kwakuitoa kwenye namna yake ya asili. Na mshukuruni Mwenyezi Mungu kwa kuwafundisha mambo ya ibada na hukumu ambayo hamkuwa na ujuzi nayo.