Tais serão recompensados, por sua perseverança, com o empíreo, onde serão recebidos com saudação e paz,
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Hao waja wa Mwingi wa rehema, waliosifika kwa sifa zilizopita, watalipwa majumba ya Peponi ya juu kabisa, kwa rehema ya Mwenyezi Mungu na kwa sababu ya uvumilivu wao juu ya kufanya matendo ya utiifu, na watalakiwa humo Peponi kwa maamkizi na salamu kutoka kwa Malaika, na watakuta maisha mema na kusalimika na maafa,