Olha com o que te comparam! Porém, assim se desviam, e nunca encontrarão senda alguma.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Tazama, ewe Mtume, namna walivyosema, hawa wakanushaji, juu yako maneno hayo ya ajabu yanayofanana na mifano kwa ugeni wake, ili wafikie kukukanusha, kwa hivyo wakawa mbali na haki, na kwa hivyo hawapati njia ya kuifikia (hiyo haki) ili wayarakibishe maneno waliyoyasema kuhusu wewe, ya urongo na uzushi.