Disse-lhes: Aqui tendes as minhas filhas, se as quiserdes.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Lūṭ akasema kuwaambia, «Hawa wanawake wenu ni mabinti zangu, waoeni iwapo mnataka kumaliza hamu zenu, wala msiyafanye mliyokatazwa na Mwenyezi Mungu ya kuwajia wanaume.» Amewaita hao wanawake kuwa ni mabinti zake, kwa kuwa Nabii wa ummah ana cheo cha baba kwao.