Tal como admoestamos aqueles que dividiram (as escrituras),
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Na ni mwenye kuwaonya nyinyi isije ikawapata adhabu kama ile Aliyoiteremsha Mwenyezi Mungu kwa wale walioigawanya Qur,ani, wakaiamini baadhi yake na wakaikanusha baadhi nyingine miongoni mwa Mayahudi, Wanaswara na makafiri wa Kikureshi.