Entrar
Entrar
Entrar
Selecione o idioma

Tafsir: Al-Isra 17:26

17:26
وات ذا القربى حقه والمسكين وابن السبيل ولا تبذر تبذيرا ٢٦
وَءَاتِ ذَا ٱلْقُرْبَىٰ حَقَّهُۥ وَٱلْمِسْكِينَ وَٱبْنَ ٱلسَّبِيلِ وَلَا تُبَذِّرْ تَبْذِيرًا ٢٦
وَءَاتِ
ذَا
ٱلۡقُرۡبَىٰ
حَقَّهُۥ
وَٱلۡمِسۡكِينَ
وَٱبۡنَ
ٱلسَّبِيلِ
وَلَا
تُبَذِّرۡ
تَبۡذِيرًا
٢٦
Concede a teu parente o que lhe é devido, bem como ao necessitado e ao viajante, mas não sejas perdulário,
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Na umfanyie wema kila mwenye ukaribu wa ujamaa na wewe, na umpe haki yake ya wema na hisani, na umpe masikini mwenye uhitaji na msafiri aliyeepukana na watu wake na mali yake, na usitumie mali yako katika njia isiyokuwa ya kumtii Mwenyezi Mungu au kwa njia ya kupita kiasi na ufujaji.