Olha com o que te comparam! Porém, assim se desviam, e nunca encontrarão senda alguma.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Fikiri, ewe Mtume, kwa kulionea ajabu neno lao kwamba Muhammad ni mchawi mshairi mwenye wazimu. Hivyo basi wamekiuka mpaka na wamepotoka na hawakuongokea njia ya haki na usawa.