Não terás autoridade alguma sobre os Meus servos, porque basta o teu Senhor para Guardião.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
«Hakika waja wangu Waumini waliyotakaswa ambao walinitii, wewe huna uwezo wa kuwapoteza.» Na inatosha kuwa Mola wako , ewe Mtume, kuwa Ndiye Mwenye kuwalinda na kuwahifadhi Waumini kutokana na vitimbi vya Shetani na udanganyifu wake.