E quando lhes são recitados os Nossos lúcidos versículos, seu único argumento é dizer: Trazei nosso pais, e estaiscertos!
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Na wanaposomewa, hawa washirikina wakanushaji, aya zetu zilizo waziwazi, huwa hawana hoja isipokuwa ni kutoa maneno yao kumwambia Mtume Muhammad, “Wahuishe, wewe na Waumini, baba zetu waliokufa iwapo nyinyi ni wakweli kwa mnayoyasema.”