Isso, porque escarnecestes dos versículos de Deus e vos iludiu a vida terrena! Assim, nesse dia não lhes será permitidosair dele (o fogo), nem lhes será permitida apelação.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
«Haya yaliyowafika ya adhabu ya Mwenyezi Mungu ni kwa sababu ya kuwa nyinyi mlizifanya aya za Mwenyezi Mungu na hoja Zake kuwa shere na mchezo, na likawadanganya nyinyi pambo la uhai wa kilimwengu.» Basi Leo hawatatolewa Motoni wala hawatarudishwa ulimwenguni ili watubie na wafanye mema.