A despeito de carecerem de conhecimento a tal respeito; o mesmo tendo acontecido com seus antepassados. É umablasfêmia o que proferem as suas bocas; não dizem senão mentiras!
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Hawa washirikina hawana ujuzi wowote wa kile wanchokidai kwamba Mwenyezi Mungu Amejifanyia mtoto, vilevile wale waliopita kabla yao ambao wao wamewaiga, hawakuwa na ujuzi huo. Ni makubwa sana maneno haya mabaya yanayotoka kwenye vinywa vyao. Wao hawasemi isipokuwa urongo.