Quererão sair do fogo; porém, nunca dele sairão, pois sofrerão um suplício eterno.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Makafiri hawa watataka watoke Motoni kwa ajili ya visanga vyake wanavyovipata, lakini hawatakuwa na njia yoyote ya kufanya hivyo. Na watakuwa na adhabu ya kudumu.