Verás que muitos deles se precipitam no pecado, na hostilidade e na saciação do que é ilícito. Quão detestável é o quefazem!
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Na utawaona, ewe Mtume, wengi miongoni mwa Mayahudi wanayakimbilia maasia ya kusema urongo, uzushi, kuzifanyia uadui hukumu za Mwenyezi Mungu na kula mali ya watu kinyume na haki. Ni maovu mno matendo yao na uadui wao.