Porém, com respeito a isso, seus corações estão indecisos e, ademais, cometem outros atos, além desse.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Lakini nyoyo za makafiri ziko kwenye upotevu uliowafinika, zimejiepusha na Qur’ani na yaliyomo ndani yake. Na wao, pamoja na ushirikina wao, wana matendo mabaya, Mwenyezi Mungu Anawapa muhula wayafanye, ili ziwapate wao hasira za Mwenyezi Mungu na mateso Yake.