E quando os viam, diziam: Em verdade, estes estão extraviados!
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Na hawa makafiri wanapowaona Maswahaba wa Mtume, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, wamefuata uongofu, huwa wakisema, «Hakika hawa wamepotea kwa kumfuata Muhammad, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie.