Assim, ele deu de beber ao rebanho, e logo, retirando- se para uma sombra, disse: Ó Senhor meu, em verdade, estounecessitado de qualquer dádiva que me envies!
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Basi Mūsā akawachotea maji wanyama wa wale wanawake wawili, kisha akageuka kwenda kwenye kivuli cha mti kujifinika nacho na akasema, «Mola wangu! Hakika mimi ni mhitaji wa wema wako wowote ule utakaoniletea,» kama vile chakula. Na njaa ilikuwa imemshika sana.