E eles, com os seus exércitos, ensoberbeceram-se, e pensaram que jamais retornariam a Nós!
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Na Fir’awn na askari wake walifanya kiburi katika nchi ya Misri bila ya haki kwa kukataa kumuamini Mūsā na kumfuata katika lile alilowaitia na wakadhani kwamba baada ya kufa kwao hawatafufuliwa.