A estes lhes será duplicada a recompensa por sua perseverança, porque retribuem o mal com o bem e praticam acaridade daquilo com que os agraciamos.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Hawa ambao sifa zao zimetangulia, watapewa malipo ya matendo yao mema mara mbili: ya kukiamini Kitabu chao na kuiamini kwao Qur’ani kwa vile walivyosubiri. Na miongoni mwa sifa zao ni kwamba wao wanalikinga baya kwa zuri, na katika kile tunachowaruzuku wanatumia katika njia ya uzuri na wema.