E lhes será dito: Invocai vossos parceiros! E os invocarão; porém, não os atenderão.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Na wataambiwa, Siku ya Kiyama, wale wenye kumshirikisha Mwenyezi Mungu, «Waiteni washirika wenu ambao mlikuwa mkiwaabudu badala ya Mwenyezi Mungu.» Na wao wakawaita na wasiwajibu. Na wakaiona wazi adhabu, na lau wao wangalikuwa ni waongofu ulimwenguni, hawangaliadhibiwa.»