O exemplo deles, ao despenderem neste mundo, é como o exemplo de um povo condenado, cujas semeaduras sãoaçoitadas e arrasadas por um vento glacial. Mas não é Deus que os condena, mas sim eles próprios.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Mfano wa wanachokitoa makafiri, katika mambo ya kheri, katiika maisha haya ya ulimenguni na thawabu wanazozitumaini, ni mfano wa upepo ulio na baridi kali uliovuma juu ya mashamba ya watu waliokuwa wanangojea kwa hamu matokeo mema ya upepo huo. Na kwa sababu ya madhambi yao, upepo huo haukubakisha chochote. Na makafiri hawa, hawatapata thawabu huko Akhera. Na Mwenyezi Mungu hatakuwa Amewadhulumu kwa hilo, lakini ni wao walijidhulumu nafsi zao kwa ukafiri wao na kuasi kwao.