Para estes a recompensa será uma indulgência do seu Senhor, terão jardins, abaixo dos quais correm os rios, ondemorarão eternamente. Quão excelente é a recompensa dos diligentes!
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Hao waliosifiwa kwa sifa hizo, malipo yao ni kwamba Mwenyezi Mungu Atayasitiri madhambi yao na watapata mabustani ya Peponi ambayo maji tamu yatakuwa yanapita chini ya miti yake na majumba yake ya fahari, ilhali ya kukaa humo milele; hawatotoka humo kamwe. Na malipo bora ya wenye kutenda mema ni msamaha na Pepo.