E sabei que, tanto se morrerdes, como ser fordes assassinados, sereis congregados ante Deus.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Na iwapo ajali zenu zitakoma katika haya maisha ya dunia na mkafa juu ya matandiko yenu au mkauawa katika uwanja wa mapigano, ni kwa Mwenyezi Mungu, Peke Yake, Mtakusanywa; na huko Atawalipa kwa matendo yenu mliyoyatenda.