São mortos, sem vida, e ignoram quando serão ressuscitados.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Wote hao ni visiki, havina uhai, wala hawajui wakati ambao Mwenyezi Mungu Atawafufua wale wanaowaabudu. Na waungu hao pamoja na wanaowaabudu wote watatupwa Motoni Siku ya Kiyama.