E foram consagrados ante Salomão, com os seus exércitos de gênios, de homens e de aves, em formação e hierarquia.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Na akakusanyiwa Sulaymān askari wake miongoni mwa majini, binadamu na ndege katika matembezi yao. Na wao, pamoja na wingi wao, hawakua wamepuuzwa, bali palikuwa, juu ya kila jinsi, mwenye kuwasimamia wa mwanzo wao kwa wa mwisho wao ili wasimame wote wakiwa wamejipanga.